Friday 15 December 2017

HOT NEWS: Makamu wa Rais Samia Suluhu amehamia rasmi Dodoma LEO.

Makamu wa Rais Samia Suluhu amehamia rasmi Dodoma.

Hii leo mapema, Makamu ra Rais Samia Suluhu amehamia rasmi mjini Dodoma ambako ndiko makazi rasmi katika kutimiza azma ya serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ya kuhamia makao makuu ya nchi Dodoma. 

0 comments: