Tuesday 26 December 2017

Manchester United Yalazimika Kupambana Kupata Sare 2-2 dhidi ya Burnley

Manchester United imelazimika kupigania sare ya 2-2 dhidi ya Burnley baada ya kutoka nyuma nyumbani.

Burnley ilikuwa ya kwanza kufunga katika kipindi cha pili kupitia Burnes dakika ya 3 na Defour kunako dakika ya 36.

Hatahivyo Man United ilicheza kufa kupona na kupata bao lake la kwanza kupitia mchezaji Jesse Lingaard kunako dakika ya 53 wakati wachezaji wa Burnley walipokuwa wakijaribu kutetea mabao yao.

Jesse Lingard aliongeza bao la pili katika dakika za lala salama ambapo Man United iliwalemea wageni wake katika safu zote na kulazimika kurudi nyuma.

Matokeo hayo hatahivyo yanaihakikishia Man United nafasi yake ya pili.

0 comments: