Wednesday 10 January 2018

Jeshi la Polisi lakamata Majangili waliouwa Tembo

#Habari:Jeshi la polisi mkoa wa Mara kwa kushirikiana askari wa hifadhi ya taifa ya Serengeti ,linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kuingia katika hifadhi hiyo na kuua Tembo wawili huku wakikutwa na meno manne ya Tembo pamoja na Bunduki mbili zikiwa na risasi 133.
 
 
  CHANZO: ITV

0 comments: